Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
Nahitaji laini za uwakala,Airtel Money na Mpesa .
DSMUsed? Au
Uko mkoa gani?
Mbona unajibu kama hutaki?!! Umemaliza kujibu swali nlilokuuliza?!!
Usinipelekeshe, unaweza biashara tufanye, huwezi basi.Mbona unajibu kama hutaki?!! Umemaliza kujibu swali nlilokuuliza?!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wafanyabiashara wa siku hizi hao eti "usinipelekeshe "jifunze kufanya biashara ndo utafute line.Usinipelekeshe, unaweza biashara tufanye, huwezi basi.
Mkoa gani?Ipo yavoda inataka 150 nanyaraka zake zipo ila ipo mkoani
Njoo pmMkoa gani?
Wafanyabiashara wa siku hizi hao eti "usinipelekeshe "jifunze kufanya biashara ndo utafute line.
unauzaje ya halotel?Mimi ninazo ya tigo na halopesa
Kuna voda ukihitaji nikuunge na mhusikaMkoa gani?