Unaweza soma kozi ngazi ya degree au diploma, kutegemeana na uwepo wa nafasi cha kufanya jiandae kutuma maombi mara baada ya muda muafaka kufika.nadhani ni baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka huu.
maombi hufanyika kwa njia ya mtandao kupitia tovuti hizi zifuatazo:-WWW.NACTE.GO.TZ au Home - Tanzania Commission for Universities. Hivyo basi keep on visiting these website frequently, to see up-to-date status.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.