Kula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu
Kula matunda kwa wingi hasa parachichi, mboga mboga za majani, samaki kwa wingi ila nyama na wanga kiasi( isiwe sana), japo mimi sio mtumiaji ila kuna kitoweo flani hivi ningeshauri ila isivyo bahati kwa wengi ni haramu. hivyo tubakie humu humu tu
Punguza stress,chuki na wivu kwa wengine,kisha fanya hivyi hakikisha unakula zaidi ya mara 4 kwa siku na ule ushibe,vyakula vya protein hasa hasa maziwa,nyama mayai,kama unakunywa pombe hakikisha kila siku kabla ya kulala kunywa beer sio zile pombe kali,pia hakikisha unalala sio chini ya masaa 7 kwa siku.