there is a saying goes like this if the ingredients are right you will bake the cake so for your case your ingredients aren't right subiri tu endelea kuchoma mahindi
Hayo utakayo, hayatabiriki! Hakuna kabila ambalo katika ndoa zoote, eti waliotalakiana wakosekane, waliopelekana ustawi wa jamii, waliokamatwa ugoni, wake/waume kupiga wenza, waliozaa nje/ kusingizia waume mimba nk.
Hayo majibu kamwe hutapata hapa. Piga magoti, mwombe Mungu wako, atakuonyesha!