calvinminja
Member
- Feb 15, 2018
- 25
- 16
Hivi haya majina yanayotumiwa na watu hapa Jamii foroums ni majina halisi au ni yakusadikika? Tujuzane tu wanandugu na sababu ya kutumia majina hayo.
Mkuu ni hatari sana kutumia jina halisiHivi haya majina yanayotumiwa na watu hapa Jamii foroums ni majina halisi au ni yakusadikika? Tujuzane tu wanandugu na sababu ya kutumia majina hayo.
sikujua naona ulimbukeni unaniaumbua alf kila jina humu ni la kipekee ndicho kilichonisanua. Acha na mimi nijiite mdau wa jamii foroumMkuu ni hatari sana kutumia jina halisi
Asante namm nitabadili langu .Wenzio wote wanatumia anonymity labda uwe verified user.
Hilo lako limekaa kama lako halisi badili mapemaa usije fwatwa na wasiojulikana