Nahitaji kufahamu bei za kumbi kama Mwl. Nyerere Conference Center, Nkurumah Hall na Blue Pearl

ukumbi wa mwalimu nyerere conference center, Nkrumah hall na Blue pearl bei zake ziko je?

  • all

    Votes: 2 100.0%
  • members

    Votes: 1 50.0%

  • Total voters
    2

jndibo

Member
Jun 21, 2014
18
2
Habari zenu wadau, mimi na wenzangu tunaandaa event ya vijana hapa Dar es salaam lakini katika kupanga bajeti yetu vizuri tunahitaji kufahamu bei za hizo kumbi nimezitaja hapo juu ili kuweza iufanya good estimation. Naamini humu ni sehemu sahihi kufahamu bei za kumbi tajwa (MWALIMU NYERERE CONFERENCE HALL, BLUE PEARL NA NKURUMAH HALL). msaada wenu tafadhali ndugu zanguni
 
Wewe na vijana wako mpo mji gani? Hii post wamepitia watu 61 mpka sasa hakuna aliyechangia kwa kuwa ni ujinga,maeneo yote uliyosema wana website na contacts zipo yaani mmeshindwa kufikiria hilo na kupiga simu mpate bei za uhakika mnakuja huku jf eti ndo mtapata,watume hao vijana wako waende kama mpo dar .Jambo dogo hivo mnashindwa kuumiza kichwa na mnataka kuandaaa event tena kumbi kubwa kama hizo ,toeni u Lumumba hapa
 
Habari zenu wadau, mimi na wenzangu tunaandaa event ya vijana hapa Dar es salaam lakini katika kupanga bajeti yetu vizuri tunahitaji kufahamu bei za hizo kumbi nimezitaja hapo juu ili kuweza iufanya good estimation. Naamini humu ni sehemu sahihi kufahamu bei za kumbi tajwa (MWALIMU NYERERE CONFERENCE HALL, BLUE PEARL NA NKURUMAH HALL). msaada wenu tafadhali ndugu zanguni

bei inatokana na hoja yako katika mkutano ambapo kama utaonekana unataka kufanya mkutano hapo ambao utapelekea watu kupigana vyupa au kutupiana viti a.k.a kuwarioba makonda bei yake huwa ni kubwa sana ambayo inaweza kufikia hata shilingi milioni 10 kwa saa mbili tu ila kama unafanya mkutano tu wa kawaida usiohusiana na masuala yoyote yale ya kisiasa unaweza ukalipia hizo kumbi hata kwa shilingi laki tano kwa saa mbili. kutokwa na manundu katika hizo kumbi zako tajwa hapo ni jambo la kawaida sana mkuu!
 
bei inatokana na hoja yako katika mkutano ambapo kama utaonekana unataka kufanya mkutano hapo ambao utapelekea watu kupigana vyupa au kutupiana viti a.k.a kuwarioba makonda bei yake huwa ni kubwa sana ambayo inaweza kufikia hata shilingi milioni 10 kwa saa mbili tu ila kama unafanya mkutano tu wa kawaida usiohusiana na masuala yoyote yale ya kisiasa unaweza ukalipia hizo kumbi hata kwa shilingi laki tano kwa saa mbili. kutokwa na manundu katika hizo kumbi zako tajwa hapo ni jambo la kawaida sana mkuu!

asante sana ndugu,,,ubalikiwe
 
Wewe na vijana wako mpo mji gani? Hii post wamepitia watu 61 mpka sasa hakuna aliyechangia kwa kuwa ni ujinga,maeneo yote uliyosema wana website na contacts zipo yaani mmeshindwa kufikiria hilo na kupiga simu mpate bei za uhakika mnakuja huku jf eti ndo mtapata,watume hao vijana wako waende kama mpo dar .Jambo dogo hivo mnashindwa kuumiza kichwa na mnataka kuandaaa event tena kumbi kubwa kama hizo ,toeni u Lumumba hapa

nipo Dar,, anyway asante kwa msaada wako pia japo hujatoa mchango huo kwa njia ya busara. sio kila kitu lazima kuchangia mengine heri kuacha tu,,,nitafanyia kazi msaada wako
 
Back
Top Bottom