Sawa mkuu nadhani hata hii design niliyoiwaza haina mambo mengiTafuta ramani nzuri yenye muonekano mzuri wa kuvutia... Achana na raman za vijijini, sikuhiz kuna raman nyingi nzuri sana ila zipo simple hazina complications na gharama nafuu... Ingia Google
ANGALIZO kwasabab unamjengea mama jitahid iwe simple sana ikiwa na mambo mengi utashindwa jujenga kumaliza
Ahsante sana dadaTwinawe
Hongera sana[emoji122][emoji122][emoji122]
Hakika wewe ni Mwanaume..MWENYEZI MUNGU akunyanyue zaidi ya hapo..Mama yako na Baba yako washuhudie mafanikio yako kabla hawajachukuliwa na MUUMBA na mambo yako yote yatimie kila zito likawe jepesi kwako[emoji4][emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu umetisha sana sema kwa upande wa toilet nataka iwe public hata mgeni akija aende straightmkuu, nimesoma uzi wako nilikuwa nipo idle nikaona nikupe plan hii imekaaje?View attachment 2616450View attachment 2616450
Chukua ramani aliyo kutumia mdau hapo chini.Panapo majaliwa mwaka huu nataka nianze ujenzi mkoani kwetu .
Namjengea mama yangu kama zawadi ya shukurani kwake kwa malezi mazuri .
Sina pesa nyingi ya kujenga kwa mkupuo ila ujenzi wangu nimegawa kwenye phase zifuatazo.
1.kununua materials kama mchanga,kokoto,mawe,tofali,cement
2.msingi
3.boma usawa wa dirisha
4.boma na kumaliza zege kabisa.
5. Kupaua
6.plasta
7.milango na madirisha
8.choo
9.rangi
10.tiles.
Nafanya hivi sababu kipato changu kidogo (tgs c)
Hii ndo design nayoiwaza kwa kuanzia ili mama asiendelee kupanga
Naombeni ushauri wa vipimo natamani sebule iwe kubwa na vyumba vikubwa.
Naombeni estimation ya cost kiwanja ni kikubwa m² 600. Kina nature ya slope japo sio sana .
Ahsanteni nawakaribisha .
mkuu, nimesoma uzi wako nilikuwa nipo idle nikaona nikupe plan hii imekaaje?View attachment 2616450View attachment 2616450
Tafuta fundi akusomee hiyo ramani mkuu, hiyo ramani imejitosheleza kwa hitaji lako "ina self na public washroom"Mkuu umetisha sana sema kwa upande wa toilet nataka iwe public hata mgeni akija aende straight
Uko sahihi mkuu ila wazazi wangu wametengana nikiwa na 1 year baba ana maisha yake mazuri tu na mahusiano yangu na baba mazuri tu mi najenga tu hata yeye akija kuishi sio vibaya ila ni mtu na familia yake na ana maisha yake mamangu toka nazaliwa bado anapangaChukua ramani aliyo kutumia mdau hapo chini.
Na kwakua unataka kujenga kijijini sikushauri uanze mambo ya kununua ramani kama mdau mmoja alivyo anza kukushawishi hapa.
Kwa mtazamo nimeona eneo unalo taka kujenga halina slope kubwa sana na hata aina ya udongo sio mbaya sana mkuu.
Mwisho nikukumbushe kwamba ulitakiwa uwajengee wazazi wako (sio mama yako), hata kama wazazi wako walizinguana usiingilie ugomvi wao tafadhali.
Nikutakie kila lakheri na Mungu akufanikishie mipango yako.
Mungu akusimamie, akuongoze na ufanikiwe kwenye jambo lako...🙏Uko sahihi mkuu ila wazazi wangu wametengana nikiwa na 1 year baba ana maisha yake mazuri tu na mahusiano yangu na baba mazuri tu mi najenga tu hata yeye akija kuishi sio vibaya ila ni mtu na familia yake na ana maisha yake mamangu toka nazaliwa bado anapanga