yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,901
- 4,126
Kina sifa zipi na bei ikoje?Daah kiwanja ninacho maeneo ya kifuru ila bajeti yako ipo chini kiongozi
Bei ni 6.5ml miguu 20 kwa 30Kina sifa zipi na bei ikoje?
Dah hicho kimenizidi uwezo mkuu.Bei ni 6.5ml miguu 20 kwa 30
Kimtindo, kwa 3mil utapata nje kidogo ya mjiDah hicho kimenizidi uwezo mkuu.
Mkuu uwe unasoma na post siyo heading tu, amesema anataka kiwanja Kimara mpaka Kibamba wewe unamletea habari za Nzuguni Dodoma.KIWANJA KIPO NZUGUNI A Dodoma- BLOCK AN.UKUBWA WA SQM 706 ..BEI 6.5 milioni Mazungumzo yapo
KIWANJA KIPO NZUGUNI A Dodoma- BLOCK AN.UKUBWA WA SQM 706 ..BEI 6.5 milioni Mazungumzo yapo
INBOX NIMETUMA KULE SIKU TATU zimepita ila hujasoma bado unaweza kuchekiKumbe nzuguni imekuwa iko dar kimara basi sawa
Kipo Kibaha kwa Mfipa, umbali km 4 hivi kutoka Morogoro road. Ukubwa ni mita 40 kwa 15 na bei yake ni Tsh 2.5m fixed.Wakuu nahitaji kiwanja.
Location: Sehemu yoyote kuanzia Kimara mpaka Kibamba.
Bajeti : 3M.
Tuwasiliane.
Nipigie masai 0744033555Dah hicho kimenizidi uwezo mkuu.
Duh asanteKipo kibaha kwa mfipa,umbali km 4 hivi kutoka Morogoro road.Ukubwa ni mita 40 kwa 15 na bei yake ni tsh 2.5m fixed.
Sawa sawa mkuu. Ngoja nikomalie hapo hapo.mkuu usitoke nje ya reli i mean kimara tu kibamba
hiyo pesa utapata kiwanja, wengi wanauza sababu ya mitano ten!
Mbona kama kuna harufu ya kitu flani hapa?Viwanja Vipo Madale Karibu na Kwa Diamond.
Mmiliki Namfaham Sana Mpaka Nyumbani Kwake, Huwa ananunua maeneo na Kuuza na Ukiridhika Na Vielezo Utanunua, Usipo
Ridhika ni Sawa Pia (Biashara Huria)
Very Clean Documents, Very Straight Business
Kama Upo Serious PM
Mimi eneo langu nimenunua kwa huyo huyo jamaa. Vielelezo Vyote Vimenyooka Sahihi mpaka Dole Gumba ukitaka unawekewa + vitambulisho vya nida.
Very Straight Businessman.
Kifuru ni wapi?Daah kiwanja ninacho maeneo ya kifuru ila bajeti yako ipo chini kiongozi
Kinyerezi kwa mbele kidogo kama unaenda MbeziKifuru ni wp?