wakuu wangu, naomba msaada wa kupata kiwanja cha kuishi. sehemu yenyewe iwe na sifa zifuatazo<br />
1. iwe sehemu yenye climate nzuri ( mvua hazikosekani)<br />
2. udongo wenye rotuba ( natazamia kufanya kilimo na ufugaji-zero grazing)<br />
3. kuwe ni inje ya miji mikubwa<br />
4. usafari mzuri ( barabara)<br />
5. hospitali inapatikana kwa karibu<br />
6. usalama wa kutosha<br />
7. maji na umeme <br />
nitashukuru sana kwa mchango wenu