Nahitaji Kiwanja haraka Kibada au Kisota-Kigamboni

Nahitaji Kiwanja haraka Kibada au Kisota-Kigamboni

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,318
Refer to the above subject,My Budget is 8m-12m,size 600m2 - 1000m2,Kiwe kimepimwa.
 
Refer
to the above subject,My Budget is 8m-12m,size 600m2 - 1000m2,Kiwe
kimepimwa.
Mkuu kwa hiyo budget, huwezi kupata Kiwanja Kisota au Kibada
kilichopimwa kwa namna yoyote.
Sikukatishi tamaa ila kwa sasa hizo ni Prime areas, ninacho Kisota cha square meters 1900 kinachouzwa kwa Milioni 250 negotiable. Na hata kisichopimwa
unaweza kujikuta umepata eneo la mradi.
Kama unapafahamu Mwongozo, zipo heka nzima kwa milioni 7 na ni negotiable, kabla ya kununua unaleta landa surveyor athibitishe kama hakuna mipango ya serikali n.k Na anakuandalia mchoro na unaanza kuprocess hati mwenyewe.
Kibada Kuna vya Milioni 7 mpaka 12, unapima pia kabla ya kulipia.
Ukiwa interested Ni PM.
 
Mkuu kwa hiyo budget, huwezi kupata Kiwanja Kisota au Kibada
kilichopimwa kwa namna yoyote.
Sikukatishi tamaa ila kwa sasa hizo ni Prime areas, ninacho Kisota cha square meters 1900 kinachouzwa kwa Milioni 250 negotiable. Na hata kisichopimwa
unaweza kujikuta umepata eneo la mradi.
Kama unapafahamu Mwongozo, zipo heka nzima kwa milioni 7 na ni negotiable, kabla ya kununua unaleta landa surveyor athibitishe kama hakuna mipango ya serikali n.k Na anakuandalia mchoro na unaanza kuprocess hati mwenyewe.
Kibada Kuna vya Milioni 7 mpaka 12, unapima pia kabla ya kulipia.
Ukiwa interested Ni PM.

Kibada kwani unavyo vya bei gani? Lengo viwe vya kupimwa hata Mikwambe au Toangoma kama unavyo nitajie bei.
 
Mkuu huko dunia ya ngapi?
mambo ya offer yalishaondolewa zamani sana siku hizi ni Hati moja kwa
moja.

Naelewa hilo ila vyenye status hiyo viko vingi na sio huko tu, ninavyo vingine viko Mwasonga navyo viko kwenye status ya offer, kwa hiyo usidhani kuwa ni jambo la ajabu saana.
 
Back
Top Bottom