Nahitaji kiwanja dodoma

MKOBA2011

Senior Member
Joined
Jul 12, 2011
Posts
142
Reaction score
27
Husika na somo hapo juu nahitaji kiwanja Dodoma ambacho hakipo kwenye mkono wa CDA maeneo ya Nkuhungu,au mipango kwa chini wanaita Mbwanga ila kisiwe na mgogoro wa aina yeyote na kiwe kinalipiwa manispaa eneo linatakiwa liwe lenye miundo mbinu ya maji na umeme ukubwa kiwe na square mita 800-900.Call me through 0658520976.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…