Mikito Mikito
Senior Member
- Jan 15, 2020
- 183
- 1,093
Naitwa Rajab ni kijana wa miaka 23 naishi Dar es Salaam maeneo ya Tegeta. Nahitaji kazi ya udereva wa gari ndogo kwa sababu nina leseni ya daraja B na D na nina uzoefu wa gari ndogo tu.
Naweza fanya kazi sehemu yoyote mahali popote pale hata kwa kujitolea au kwa makubaliano maalumu.
Asanteni.
0783231177
Naweza fanya kazi sehemu yoyote mahali popote pale hata kwa kujitolea au kwa makubaliano maalumu.
Asanteni.
0783231177