Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 400
Naomba mtu anaefahamu wapi naweza kupata jiko la namna hii hapa Dar es salaam anijuze...
Jiko hili linatumia gas nq lina mawe maalumu yanayokaa mpaka miaka5.
Nimejaribu kuulizia lakini nimekosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiko hili linatumia gas nq lina mawe maalumu yanayokaa mpaka miaka5.
Nimejaribu kuulizia lakini nimekosa.
Sent using Jamii Forums mobile app