Nahitaji hiace

Nahitaji hiace

Ukiipata kwa bei hiyo naomba unishitue na mimi kwa pm.

mie nshachukua jion hii, nawe kachukue hii hapa
842dc43faf6dcf856a581cd7e5da1300.jpg
 
Mkuu umechukua kwa bei hiyo???,wapi huko??,je zina patikana??.

nimechukua kwa 9M, hapahapa tanzania, ndiyo zinapatikana nyingi tu. hiyo hapo juu inapatikana kwa 8M inashuka hadi 7.5, pia nyingine inauzwa 6.3M.
 
Dar na Mwanza, mie nilipenda ya 9M sababu ilikuwa na bodi kama jipya afu namba C na ilikuwa hapahapa mwanza
Ok!!,kumbe upo Mwanza.sasa naomba namba yako ya simu maana mimi nipo Ngara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom