Wakuu Salaam.
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D au C.,Mileage isizidi 100000km,kutoka kwa mwenye mali. Budget kwa sasa ni 6.5 M.
Njoo PM tuseme vizuri
Hadi ifike Dar itakuwa how much?
kwa bei hii utapigwa tu mkuu ongeza ongeza ifike 8.5 utapata gari nzuriWakuu Salaam.
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D au C.,Mileage isizidi 100000km,kutoka kwa mwenye mali. Budget kwa sasa ni 6.5 M.
Njoo PM tuseme vizuri
Kama 7 naweza jikamua but 8.5 sijafika mkuuKuna jamaa yangu Ana ist namba d ,Rangi nyeusi,Milage 64000,ya mwaka 2004 anaiuza 8.5...ni Rangi nyeusi gari imenyokaa
Kama uko serious ni pm nkutumie namba ya mmiliki ukaione
OvA
8.5 sina mkuukwa bei hii utapigwa tu mkuu ongeza ongeza ifike 8.5 utapata gari nzuri
Bei nliyokupa ni ya mwenyewe chini ya hapo hauzi hyo haina udalaliKama 7 naweza jikamua but 8.5 sijafika mkuu
Kati ya hizo Gari huwezi pata kwa bei hiyo ukipata itakuwa na matatizo makubwaWakuu Salaam.
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D au C.,Mileage isizidi 100000km,kutoka kwa mwenye mali. Budget kwa sasa ni 6.5 M.
Njoo PM tuseme vizuri
tafta paso8.5 sina mkuu
Bei ngapi mkuu?
Hzi nyeupe za mwsho hapa pesa ngap mkuu!!!nichek 0655 378737 tufanye biashara
Huwezi pata gari iliyosimama kwa hiyo beiWakuu Salaam.
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D au C.,Mileage isizidi 100000km,kutoka kwa mwenye mali. Budget kwa sasa ni 6.5 M.
Njoo PM tuseme vizuri
Have you noted that???So amazingOnly in Tanzania where people buys vehicles on basis of registration number.