lift gharama
Senior Member
- Apr 11, 2015
- 107
- 66
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
Mkuu mimi nina bito nauza 450000 tu
Nina bajeti 10m
Mkuu mimi nina bito nauza 450000 tu
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
iko katika hali gani?
Iko vizuri inatembea