Nahitaji Fundi Mzuri wa Kufunga Dish la Dstv

Nahitaji Fundi Mzuri wa Kufunga Dish la Dstv

Arone Ramsey

Senior Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
170
Reaction score
293
Yaaani tangu ninue dish la Dstv haipiti miezi mitatu chanel zinakata kata natafuta fundi anagusa gusa akiondoka ikikaa baada ya mda linazingua tena!!

sasa nimechoka kutoa hela kila siku nimeliacha lina kama mwezi natafuta fundi muaminifu atakaeweza ku reset vizuri niko Dar Temeke

Uzi tayari
 
Hata mm pia naona uzi tayari mkuu,

Kwann usiwapigie wakuagizie fundi kutoka matawi yao naiman temeke hawakosi tawi ,namba zao chukua hata Instar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom