Nahitaji dawa ya kutokomeza nzi

Kama unajiweza kipato kuna kamtambo flani kamekaa kama chemli unakatundika kwenye kona ya dari wadudu walukao wote wanakafata hadi mbu..
 
Hao jamaa wanaotangaza sumu ya panya ni wauuni wanaweza kukuuzia mavi ya mbuzi et ni sumu
 
Dawa hiyo ni nzuri ila mtahadharishe awe makini maana inzi wakigusaga ile wanapata kichaa na anaweza kufondoka popote kwenye sahani au ata kikaango ikaleta shida.

Maana wanakufilia popote.
 
Hzo apo
 

Attachments

  • Screenshot_20191013-205252_1570989223165.jpg
    40.3 KB · Views: 111
Mrejesho wa dawa nzuri ya nzi jamani... Hapa kwangu naona nzi wanataka kupazoea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…