Nyakati za mwisho
Member
- Feb 18, 2018
- 29
- 8
- Thread starter
-
- #21
Kuna jamaa moja limeniambia hivyo na kwa vile naheshimu mawazo ya kila momja sikutaka kumjibu vibaya cha msingi nikuchagua wazo zuri nilifanyie kaziSasa hapo si ndo watajaa kwa wingi mkuu?
Nitakapata wap nduguKama unajiweza kipato kuna kamtambo flani kamekaa kama chemli unakatundika kwenye kona ya dari wadudu walukao wote wanakafata hadi mbu..
Hao jamaa wanaotangaza sumu ya panya ni wauuni wanaweza kukuuzia mavi ya mbuzi et ni sumuMkuu nenda duka la dawa ya mifugo au wale jamaa wanaotangaza sumu ya paya,nzi nk ulizia Fly Bait - au waambie dawa ya nzi ipo kwenye pakti ya Kijani na ndani ina unga wa manjano inauzwa shs 1,000. Unanyunyiza kidogo tu nzi wanaifuata wenyewe na wanakufa hapo hapo.
Tumia hiyo na lete mrejesho iwasaidie na wengine.
Katafute maduka ya vifaa vya umeme nazani utakapata!..mtandaoni kanaitwa "fly catcher machine".Nitakapata wap ndugu
Dawa hiyo ni nzuri ila mtahadharishe awe makini maana inzi wakigusaga ile wanapata kichaa na anaweza kufondoka popote kwenye sahani au ata kikaango ikaleta shida.Mkuu nenda duka la dawa ya mifugo au wale jamaa wanaotangaza sumu ya paya,nzi nk ulizia Fly Bait - au waambie dawa ya nzi ipo kwenye pakti ya Kijani na ndani ina unga wa manjano inauzwa shs 1,000. Unanyunyiza kidogo tu nzi wanaifuata wenyewe na wanakufa hapo hapo.
Tumia hiyo na lete mrejesho iwasaidie na wengine.
Umewahi kula na hukufa?Hao jamaa wanaotangaza sumu ya panya ni wauuni wanaweza kukuuzia mavi ya mbuzi et ni sumu
Sumu au kitu chochote kinachohisiwa kuwa na sumu hakihonjwi mkuu!!Umewahi kula na hukufa?
tena ulioozawawekee utumbo.hawapendi harufu yake.
Nitafute 0783859598Tumia ndimu ya maji! Vinega... Inafukuza nzi.. Dawa za kuwaua znaweza kuwa na effect kwenye biashara yko.
FakenNitafute 0783859598
Yaani mm nawaona Tena Wana sex kabisa juu Kwa juuMrejesho wa dawa nzuri ya nzi jamani... Hapa kwangu naona nzi wanataka kupazoea