makua JF-Expert Member Joined Dec 9, 2013 Posts 208 Reaction score 40 Oct 11, 2016 #1 Habari wana jamvi! Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza Nahitaji tani 30-40 Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo? Ahsante
Habari wana jamvi! Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza Nahitaji tani 30-40 Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo? Ahsante
jembelamkono JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 2,733 Reaction score 2,016 Oct 11, 2016 #2 Mkuu mimi ninao wa Ukanda huohuo kutoka Musoma lkn ntakuuzia kwa 2500/kg delivery ni two weeks baada ya kupokea order.
Mkuu mimi ninao wa Ukanda huohuo kutoka Musoma lkn ntakuuzia kwa 2500/kg delivery ni two weeks baada ya kupokea order.
H halikatwe Member Joined Sep 16, 2016 Posts 48 Reaction score 29 Oct 11, 2016 #3 makua said: Habari wana jamvi! Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza Nahitaji tani 30-40 Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo? Ahsante Click to expand... Kama upo serious tufanye arrangements
makua said: Habari wana jamvi! Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza Nahitaji tani 30-40 Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa 1kilo? Ahsante Click to expand... Kama upo serious tufanye arrangements
makua JF-Expert Member Joined Dec 9, 2013 Posts 208 Reaction score 40 Oct 11, 2016 Thread starter #4 halikatwe said: Kama upo serious tufanView attachment 416076View attachment 416077ye arrangements Click to expand... Nakuja Pm
halikatwe said: Kama upo serious tufanView attachment 416076View attachment 416077ye arrangements Click to expand... Nakuja Pm
makua JF-Expert Member Joined Dec 9, 2013 Posts 208 Reaction score 40 Oct 11, 2016 Thread starter #5 jembelamkono said: Mkuu mimi ninao wa Ukanda huohuo kutoka Musoma lkn ntakuuzia kwa 2500/kg delivery ni two weeks baada ya kupokea order. Click to expand... Nakuja Pm
jembelamkono said: Mkuu mimi ninao wa Ukanda huohuo kutoka Musoma lkn ntakuuzia kwa 2500/kg delivery ni two weeks baada ya kupokea order. Click to expand... Nakuja Pm