Nahitaji Dada wa kazi, location Dar es Salaam

Nahitaji Dada wa kazi, location Dar es Salaam

Mzungu wa madawa

Senior Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
120
Reaction score
282
Habari za wakati huu ndugu

Nahitaji dada wa kazi, eneo la kazi ni Dar es Salaam, mshahara 60k.

Aliye tayari naomba tuwasiliane, au kama unafahamu mtu anaye hitaji kazi naomba pia unisaidie.
 
Vigezo na stahiki nyingine ni zipi mpaka unamlipa 60k?
Hakuna vigezo zaidi ya awe anajitambua na umri usiozidi 24, nyumba ina watoto watatu na wote wanaenda shule, Mama anaenda kazini na nyumbani atakuwa anabaki pekeyake mpaka jioni.
 
Back
Top Bottom