Mkuu kwanza inabidi ufanye suryey ya eneo lako la biashara,kama hakuna wateja wengi sana haina haja ya kuwa na mashine kubwa ya kopi,,paper cutter ni sh almost 30 elf,stapler machine kubwa ya kangaroo ambayo ni imara ina sh 80 elfu,laminating machine ni almost 130.000/=,so kama eneo inalofanyia kazi hakuna wateja wengi yaani ambapo hutumiii zaidi ya ream paper moja kwa siku,nakushauri ununue Epson mashine l850 ambayo unafanya kazi ya kutoa kopi,kuprinti na kuscan, ni nzuri sana hii printer,kama kuna sehemu hujaelewa uliza mkuu
Sent using
Jamii Forums mobile app