BRO SANTANA JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 1,845 Reaction score 2,249 Feb 9, 2017 #1 Wakuu kwema? Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana. Kila baada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12. Nimebadilisha maji lkn bado. Naomba kujua bei ya dry cell n40 na je naweza tumia n50?
Wakuu kwema? Nina gari yangu toyota runx natumia battery ya maji n40 sasa inanisumbua sana. Kila baada ya siku 4 lazima nipeleke chaji masaa 12. Nimebadilisha maji lkn bado. Naomba kujua bei ya dry cell n40 na je naweza tumia n50?