Nahitaji bajaji ya kununua.

kamsongole

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
111
Reaction score
15
Wadau anaejua bajaji zinauzwa wapi na bei gani anijuze tafadhali.
 
Ninayo yangu ni used but naiuza million 2 kama unataka mpya zipo ni million sita

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wadau anaejua bajaji zinauzwa wapi na bei gani anijuze tafadhali.

BAJAJ RE 205 NEW MODEL

Ipo rangi hizi;
nyeusi
blue
nyekundu
nyeupe

inakuwa imesajiliwa kabisa,garentii mwaka mmoja kwa lolote likitokea unabadilishiwa chombo
kama upo dar service tatu za mwanzo free yani kila baada ya 750kms

Bajaj halisi,mfano io kampeni ya Tigo iliyoisha ndio kama izo

We as Bajaj saying u wil never regret...

Bei Million 5.6 TZS

NI PM nikupe namba
 
asante kwa taarifa, ntakupm.
 

Duh umeua
 
Hivi mahesabu yake inakua shillingi ngapi na naona kama ziko nyingi siku hizi bado biashara yake nzuri??
 
kama bado unahitaji check me am selling yangu.....0716749125
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…