Kwa bei 60,000 huto pataNaomba mwenye uwezo wa ku supply gunia 100 ya alizeti arusha aliyenayo anijulishe bei yangu ni 60000tsh kwa gunia .
Mzigo unaufata mwenyewe au!?Naomba mwenye uwezo wa ku supply gunia 100 ya alizeti arusha aliyenayo anijulishe bei yangu ni 60000tsh kwa gunia .
Alizeti ilifika hadi elfu 90?Kwa bei 60,000 huto pata
Bei ni 90,000 kwa sasa