Nahitaji Air conditioner

Nahitaji Air conditioner

Ya aina za Dual inverter, na vizuri zaidi nikipata makabila ya L.G / Panasonic

Wapi naweza kupata na Bei zake zinatembeaje kwa wenye uelewa.
Kariakoo
 
Kama ukihitaji za kukodi kuna watu wanaitwa Baridi Baridi huwa wanakuja kukufungia na unakuwa unanunua kifurushi kama vile unit za umeme .Hii inasaidia sana hasa sehemu za mijini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom