Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 655
Ni binti ambae nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka miwili sasa.Huyu binti nilimpata kipindi anamalizia masomo yake ya chuo kikuu na wakati naingia nae kwenye mahusiano ndio alikua anaingia mwaka wa mwisho wa mahusiano.
Nakumbuka kabla hajamaliza chuo kuna siku tulipishana kidogo kiswahili lakini tuliyaongea yakaisha tukaendelea na mapenzi yetu kama kawaida ingawa ni moja ya ugomvi ambao kila nikikumbuka alivyokua akinitreat najikuta namchukia sana ingawa simwambii kwamba kumbukumbu ya ule ugomvi wetu mpaka leo haijafutika kichwani mwangu.
Kuna wakati nawaza kubadilisha laini yangu ya simu ili tu asinipate hewani kwa kipindi hata cha miezi miwili lakini huruma inanijia kwamba atahisi huenda nimeona amemaliza chuo na kuwa mzigo kwangu ndio maana nataka kumuacha.
Nikikumbuka alivyokua akiniletea dharau wakati namtafuta ili tuyaongee kipindi kile tumegombana nashikwa na hasira zaidi ingawa yeye mwenyewe simwambii.
Nifanyeje ili niondokane na hali hii ?
Nakumbuka kabla hajamaliza chuo kuna siku tulipishana kidogo kiswahili lakini tuliyaongea yakaisha tukaendelea na mapenzi yetu kama kawaida ingawa ni moja ya ugomvi ambao kila nikikumbuka alivyokua akinitreat najikuta namchukia sana ingawa simwambii kwamba kumbukumbu ya ule ugomvi wetu mpaka leo haijafutika kichwani mwangu.
Kuna wakati nawaza kubadilisha laini yangu ya simu ili tu asinipate hewani kwa kipindi hata cha miezi miwili lakini huruma inanijia kwamba atahisi huenda nimeona amemaliza chuo na kuwa mzigo kwangu ndio maana nataka kumuacha.
Nikikumbuka alivyokua akiniletea dharau wakati namtafuta ili tuyaongee kipindi kile tumegombana nashikwa na hasira zaidi ingawa yeye mwenyewe simwambii.
Nifanyeje ili niondokane na hali hii ?