Nahisi kuachana nae

Ndoa sio hisani wala favor.
Kama unaona moyo wako haujaridhia mwambie wazi atafute ustaarabu mwingine.
Ukilazimisha kuoa kwasababu watu wamekuambia utajuta siku yatakapokukuta.
Kaeni chini mu-harmonize jinsi ya kumlea huyo mtoto kwasababu sio laana bali ni baraka.
 
Kumzalisha moyo ulikuwa laini,kumuoa moyo umekuwa mgumu,punguza uvulana kuwa mwanaume.maneno yako yamekaa kivulana vulana tuuuu!
 
Ndomaana mnaendewaga kwa waganga , kumbe sio makosa yao fikiria dada yako angefanyiwa hayo unayofikiria wewe au unayotaka kufanya ungejisikiaje
 
pole bro,,, maana umetupiwa mawe kweli kweli.....,,,,usioe mtu ambae nafsi yako inakwambia sio chaguo lako hata kama mmezaa...... uwe na busara sana katika hili ili mwanenu asikengeuke juu yako........
 
MEN: if you don't want to make her ur wife, don't make her a mother
 
Yaani lazima umuoe huyo, umemzalisha alafu unataka kumuacha. huyo wakwako huyo. Ungetaka ushauri usingemzalisha kwanza ungesubiri.
 
Unataka na sisi tushiriki dhambi yako ya uzinzi au? Inaonekana wewe unakwepa majumu tu sio dini wala type ya msichana unayemtaka endelea kudance dance mwisho utamuacha na utazaa na mwingine mwisho wa siku unajikuta una watoto ambao hawana familia kamili then uzee unakufika unabaki kutangatanga tu eti sio type yangu! kwa nini hukusema hayo kabla ya kulala nae?
 
yan qumaniner wewe ndo mana uwa mnashughulikiwa nyie viumbe,yan leo ndo wamwona hafai?shenzy taipu na umuoe uyo dada laa ulaanike kabisa nachukia mno sana izi tabia za kingese ngese
 
yan qumaniner wewe ndo mana uwa mnashughulikiwa nyie viumbe,yan leo ndo wamwona hafai?shenzy taipu na umuoe uyo dada laa ulaanike kabisa nachukia mno sana izi tabia za kingese ngese

Hahahaha. Ujumbe wako umemfikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…