Asalam aleykum wana Jf.
Mimi ni mwanamke wa 29yrs old.Kuna kijana wa miaka33 nina mazoea nae kwa 6months. Sasa ananionyesha dalili zote za kunipenda na kunihitaji ila hajawahi nitamkia mpaka sasa.
Ni mtulivu na ndiye atayenifaa kwa maisha.Hisia zangu ni kwamba atakuwa ananiogopa na kujifeel inferior kwangu kwani nimemzidi kielimu na uchumi kadhalika.
Nimtokee mimi manake nimemuwekea mazingira ya kujishusha ili kumtoa uwoga na pia kujiweka huru ili aniambie lakini hasemi.
Please help me.
Mimi ni mwanamke wa 29yrs old.Kuna kijana wa miaka33 nina mazoea nae kwa 6months. Sasa ananionyesha dalili zote za kunipenda na kunihitaji ila hajawahi nitamkia mpaka sasa.
Ni mtulivu na ndiye atayenifaa kwa maisha.Hisia zangu ni kwamba atakuwa ananiogopa na kujifeel inferior kwangu kwani nimemzidi kielimu na uchumi kadhalika.
Nimtokee mimi manake nimemuwekea mazingira ya kujishusha ili kumtoa uwoga na pia kujiweka huru ili aniambie lakini hasemi.
Please help me.