mambo unataka kununua mbona umekuwa mkali sanaUlipaswa useme upo wapi kwanza ya yote
aweke na bei aiseeUpo mji gani.mtaa gani
Mimi nataka hilo friji mkuu.mambo unataka kununua mbona umekuwa mkali sana
yupo area c dodomaMimi nataka hilo friji mkuu.
Ila muuzaji ameshindwa kuandika yupo wapi.
Uko wapi,fridge sh ngapi
Friji brand BEKO linafanya kazi vizuri ....lina sehem ya friji na freezer
Kiitanda cha mninga 5*6 godoro nchi 8 kwa laki 3
Kabat la nguo [HASHTAG]#mchina[/HASHTAG] lina marekebisho kidogo laki140
Serious customer check me
niuzie mtungi wa gas
Friji brand BEKO linafanya kazi vizuri ....lina sehem ya friji na freezer
Being 450k
Kiitanda cha mninga 6*6 godoro nchi 8 kwa laki 350K
Kabat la nguo [HASHTAG]#mchina[/HASHTAG] lina marekebisho kidogo laki140
Napatikana Dar es salaaam
Wa mkoani ukinunua unatumiwa kwa garama zako
Serious customer check me
0674843289
hhahaha aisee inabidi uweke vya muhimu tuZamani kujaza makorokoro ndani ilikuwa ni sifa lakini siku hizi ni tofauti kabisa..
Mtungi nshauza mkuu vmebaki hivyoniuzie mtungi wa gas