Mkuu kwenye teknolojia kila jambo linawezekana. Sipingani na jamaa moja kwa moja kutokana na wenzetu walio mbele walivyowekeza kwenye issue ya security.Pass code lock yawezekana ukawa unaweza kutoa, lakini issue ya iCloud hapana usiwadanganye na kuwaibia watu, kumbuka kitu pekee kinachofanya cm za i Phone kuwa ghali zaid ni security system yao....... unachozungumza ni sawa na mtu aseme leo nimegundua gradients solutions zitumikazo na kampuni ya cocacola impossible!!
nafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu yako niishughulikie bei maelewano<br /><br />nikiishamalizana na iphone yako inakuwa mpya bila ownership ya mtu yeyote yule mpaka utakapo sign in na apple id so its safe hautaweza patikana hata kama utaleta uliyoiba au uliyookota<br /><br />my number 0692747618
HahahaaaaWizi tu uyu yupo kma yule w kupatan anaweka chanel z dstv kweny startimes
Halafu akaishia wapi?Tena kwa elf 40 yule jamaa hapana
Ahsante sana kwa jibu maridhawa natumaini harudi tena mtu kuongelea FBI hapa kaka umepiga mtu ngumi ya jicho.kama nilivyosema sio kila IOS inakubali na sifungui icloud ninachokifanya ni sawa na factory reset ya Androids ingawa kwenye iphone data inarudi kwasababu hiyo reset inatumia PC yenye back ups zako sasa kabla data haijarudishwa naweka zingine
FBI wameshindwa kufungua icloud sio kuiondoa wao wanataka wafungue waangalie text calls na info zote ambapo ni lazima wafungue kama vile mwenye nayo
ukions hivyo uneibiwa cm ya iphone sasa umeamua kutangaza ili wajilete wenyewenafungua iphones zenye passcode lock na kutoa icloud nasisitiza natoa icloud sio kufungua,na sio iphones zote zinaweza funguliwa especially ambazo zinalatest versions za IOS but whatever lete simu yako niishughulikie bei maelewano<br /><br />nikiishamalizana na iphone yako inakuwa mpya bila ownership ya mtu yeyote yule mpaka utakapo sign in na apple id so its safe hautaweza patikana hata kama utaleta uliyoiba au uliyookota<br /><br />my number 0692747618
Hapo kwamwone fundi simu hiyo issue ya hardware kama unataka suggestion ya mafundi simu wanaodeal na iphone tu nutakutoanlikua nacharge simu. Plug ikapiga short kwenye USB. Mpaka sasa simu haiwaki wala haioneshi chochote. Nafanyaje
Unatumia ipad aina gani?Don nisaidie tablet yangu nikipiga inaandika cellular network not available tatizo ni nini?
Haina noma baki nayo ipange kama remote zisizo na battery sebuleniNafaham mtu kama wewe pale posta
Wanakulamba hella ya kukuletea information afu baadae wanakwambia wameshindwa na masababu kibao
Inshort ni matapeli tu
Icloud unaweza kubypass ila siyo kwa simu zote za Iphone. Unapompa fundi a bypass Icloud hakikisha amebypass ndiyo umpe hela akishindwa usimpe hata shilingi.Nafaham mtu kama wewe pale posta
Wanakulamba hella ya kukuletea information afu baadae wanakwambia wameshindwa na masababu kibao
Inshort ni matapeli tu
Wizi tu uyu yupo kma yule w kupatan anaweka chanel z dstv kweny startimes
Pass code lock yawezekana ukawa unaweza kutoa, lakini issue ya iCloud hapana usiwadanganye na kuwaibia watu, kumbuka kitu pekee kinachofanya cm za i Phone kuwa ghali zaid ni security system yao....... unachozungumza ni sawa na mtu aseme leo nimegundua gradients solutions zitumikazo na kampuni ya cocacola impossible!!