Nafunga ndoa karibuni sana

Pole sana kijana. POLE MNOOOOOO!
 
Hongera sana!!

Kutakua na pilau na vinywaji ili nisiwashe moto siku hiyo!?
 
Hongera ndugu naomba kadi niwe muwakilishi wa wahenga
 
Kuna jamaa mmoja alisomaga shule moja Arusha alikuwa anaitwa Bitebo...
 
Umepigwa limbwata wewe na utakomaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…