A azzahzaquan Member Joined Jun 8, 2016 Posts 22 Reaction score 3 Jun 8, 2016 #1 kwa mwenye kuhitaji kufunga ama kurekebishiwa CCTV camera fundi nipo nafunga popote Tanzania gharama za usafiri na malazi nje ya Dar ni juu yako
kwa mwenye kuhitaji kufunga ama kurekebishiwa CCTV camera fundi nipo nafunga popote Tanzania gharama za usafiri na malazi nje ya Dar ni juu yako
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,157 Jun 9, 2016 #2 Kufunga kwenye duka la biashara ni bei gani na zinahitajika camera ngapi??na gharama zake zipoje??
A azzahzaquan Member Joined Jun 8, 2016 Posts 22 Reaction score 3 Jun 9, 2016 Thread starter #3 Papizo said: Kufunga kwenye duka la biashara ni bei gani na zinahitajika camera ngapi??na gharama zake zipoje?? Click to expand... biashara km gn na nipe namba yko ya cmu nikutafute
Papizo said: Kufunga kwenye duka la biashara ni bei gani na zinahitajika camera ngapi??na gharama zake zipoje?? Click to expand... biashara km gn na nipe namba yko ya cmu nikutafute
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,157 Jun 11, 2016 #4 Ni biashara ya kawaida tu ndugu yangu biashara ya viywaji yenyewe...
A azzahzaquan Member Joined Jun 8, 2016 Posts 22 Reaction score 3 Jun 11, 2016 Thread starter #5 Papizo said: Ni biashara ya kawaida tu ndugu yangu biashara ya viywaji yenyewe... Click to expand... nipe namba yako ya cmu nikupigie ili nijue mengi
Papizo said: Ni biashara ya kawaida tu ndugu yangu biashara ya viywaji yenyewe... Click to expand... nipe namba yako ya cmu nikupigie ili nijue mengi
Amalinze JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 6,780 Reaction score 5,318 Jun 11, 2016 #6 weka bei installation cost.
A azzahzaquan Member Joined Jun 8, 2016 Posts 22 Reaction score 3 Jun 11, 2016 Thread starter #7 camera 1 50000 ikizidi zaidi bei inapungua
solja njeree Senior Member Joined Aug 27, 2013 Posts 175 Reaction score 95 Jun 11, 2016 #8 Mim naomba kujua hii kamera inaweza kuhifadhi matukio kwa Massa manapi ama ama inaukubwa gani . inaweza ikachukua matukio ya mwezi nzima ama nahiyajika kufuta ikijaa
Mim naomba kujua hii kamera inaweza kuhifadhi matukio kwa Massa manapi ama ama inaukubwa gani . inaweza ikachukua matukio ya mwezi nzima ama nahiyajika kufuta ikijaa
A azzahzaquan Member Joined Jun 8, 2016 Posts 22 Reaction score 3 Jun 11, 2016 Thread starter #9 inategemea na hard disk ulioweka kwenye dvr