Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 320
WanaJF,
Disclaimer: Naomba kwa mwenye kutoa ushauri asiegemee upande wowote*
Mimi ni moja kati ya vijana waliooa wakiwa na umri mdogo. Nilikuwa nina miaka 21 (now I'm 23) tu na ni kwasababu ya shinikizo la Bosi wangu aliyekuwa kama mlezi wangu kipindi hicho, maana nilimsimulia mazingira yangu ya ukuaji; ni yatima niliyekulia kwenye vituo vya watoto pia nilikuwa nimepitia hekaheka nyingi kama maisha ya mtaani, Mungu si athumani nikafanikiwa kufika chuo na kupata fani inayoeleweka.
Kingine kilicho leta msukumo wa kuoa ni ulimbukeni wa wanawake maana nilishika pesa hivyo nikawa nafantasize maisha ya mtu mwenye hela na aliyekulia maisha ya kawaida; wazazi, shule, ndugu, marafiki, kula bata, party kila wiki, mitoko n.k. Kwahiyo huwa nasema mke huyu alisaidia mimi kutulia maana pengine ningeambulia UKIMWI.
Lakini baada ya kuoa, na hata baada ya kupata mtoto 1, mambo yalianza kuniendea kombo kwa kasi na hakuna nilichofanya nikafanikiwa; iwe ni kujiajri, kutafuta kazi au kutulia kwenye jiji moja. Gharama ya kumantain familia hii na kipato cha kuyumba yumba kilifanya ugomvi usiishe ndani, afya zetu zizorote, na nikaingia kwenye ulevi mzito kuepuka stress ya kutofanikiwa kwenye malengo mbalimbali.
Sasahivi nimeirudisha familia ukweni kwa jina la likizo na mjukuu kutembelea bibi zake, na nimepata kazi mpya ambayo nikidumu nayo, inaenda kunifanya kuwa mmoja wa vijana wazito mjini...lakini sina amani kila nikifikiria gharama za familia na madhaifu ya mke k.v. kutokuwa mwepesi kuomba msamaha pale anapokosea, na ieleweke tupo Dini tofauti. Na nina mconsider "Non-submissive".
Ieleweke kuwa; nina heshimu sana harakati za kuifanya dunia a better place kwa kutozalisha mabinti ovyo, watoto wasio na malezi ya pande 2 na kutokuoa oa ovyo just bcoz u can..I BELIEVE IN FAMILY. Lakini nikiangalia umri wangu (pia watu wamekuwa wakinibeza kwa kuoa haraka vile, na wengine kukata tamaa ya kutowekeza kwangu). Maana wanaona ni kweli I'm fresh, lakini nina msalaba wa ndoa na familia.
Sasa lengo la kuomba ushauri huu, ni ili kupata tafsiri ya uamsho ambao umeanza kuota ndani yangu tangu wiki jana, kwamba I can forge a better life again...I can re-launch lost opportunities..she's not the first one to be abandoned, and your Son will grow on his own just as you did (did you know you'll reach this much?), Abandon the ship n.k.
Naomba usitumie huruma kunishauri, share facts, share ukweli. Maana hadi umri huu...hakuna huruma iliyowahi kunipa la maana. Mambo makubwa niliyofanikisha maishani ni kwa sababu ya "Cleverness", everybody who spends time with me, huwa anaishia kusema mimi ni kama Yakobo wa kwenye Biblia, yaani sio Extremely Smart, but I'm Extra Ordinary Clever to a point I almost can get away with anything...CLEAN.
Lengo ni kuanza maisha upya kwa kupigania ndoto za maisha yangu bila (mzigo wa) ndoa au familia, maana nategemea nguvu zangu mwenyewe, sina urithi sina ndugu...ni jeshi la mtu mmoja. Na mwanzoni kabla ya kuoa nilikuwa nikienda speed kali na nzuri sana.
Nawasilisha.
P.S. Mke hana shughuli, ni form 4 leaver. Nimeshajaribu kumtafutia kazi anashindwa, nikamfungulia biashara ya Hotel mtaji ukafia huko.
UPDATE:
Naona wengi wananukuu vibaya kipengele nilichosema kwamba mimi ni "Clever". Ni kwamba, apart from relationship/marriage failure I'm going through, I'm extremely talented; under the age of 23, I managed to secure 2 high profile jobs in Banks headquarters (names undisclosed)...I have a chain of man-work accomplishments ambazo hutaamini niki-unveil (and I won't do it here, it's not a proper platform)...Hapa nimeleta swala la familia nipate ushauri. FULL STOP. Pia madhaifu yangu nayajua fika; I'm arrogant and I have an exaggerated sense of self importance.
Disclaimer: Naomba kwa mwenye kutoa ushauri asiegemee upande wowote*
Mimi ni moja kati ya vijana waliooa wakiwa na umri mdogo. Nilikuwa nina miaka 21 (now I'm 23) tu na ni kwasababu ya shinikizo la Bosi wangu aliyekuwa kama mlezi wangu kipindi hicho, maana nilimsimulia mazingira yangu ya ukuaji; ni yatima niliyekulia kwenye vituo vya watoto pia nilikuwa nimepitia hekaheka nyingi kama maisha ya mtaani, Mungu si athumani nikafanikiwa kufika chuo na kupata fani inayoeleweka.
Kingine kilicho leta msukumo wa kuoa ni ulimbukeni wa wanawake maana nilishika pesa hivyo nikawa nafantasize maisha ya mtu mwenye hela na aliyekulia maisha ya kawaida; wazazi, shule, ndugu, marafiki, kula bata, party kila wiki, mitoko n.k. Kwahiyo huwa nasema mke huyu alisaidia mimi kutulia maana pengine ningeambulia UKIMWI.
Lakini baada ya kuoa, na hata baada ya kupata mtoto 1, mambo yalianza kuniendea kombo kwa kasi na hakuna nilichofanya nikafanikiwa; iwe ni kujiajri, kutafuta kazi au kutulia kwenye jiji moja. Gharama ya kumantain familia hii na kipato cha kuyumba yumba kilifanya ugomvi usiishe ndani, afya zetu zizorote, na nikaingia kwenye ulevi mzito kuepuka stress ya kutofanikiwa kwenye malengo mbalimbali.
Sasahivi nimeirudisha familia ukweni kwa jina la likizo na mjukuu kutembelea bibi zake, na nimepata kazi mpya ambayo nikidumu nayo, inaenda kunifanya kuwa mmoja wa vijana wazito mjini...lakini sina amani kila nikifikiria gharama za familia na madhaifu ya mke k.v. kutokuwa mwepesi kuomba msamaha pale anapokosea, na ieleweke tupo Dini tofauti. Na nina mconsider "Non-submissive".
Ieleweke kuwa; nina heshimu sana harakati za kuifanya dunia a better place kwa kutozalisha mabinti ovyo, watoto wasio na malezi ya pande 2 na kutokuoa oa ovyo just bcoz u can..I BELIEVE IN FAMILY. Lakini nikiangalia umri wangu (pia watu wamekuwa wakinibeza kwa kuoa haraka vile, na wengine kukata tamaa ya kutowekeza kwangu). Maana wanaona ni kweli I'm fresh, lakini nina msalaba wa ndoa na familia.
Sasa lengo la kuomba ushauri huu, ni ili kupata tafsiri ya uamsho ambao umeanza kuota ndani yangu tangu wiki jana, kwamba I can forge a better life again...I can re-launch lost opportunities..she's not the first one to be abandoned, and your Son will grow on his own just as you did (did you know you'll reach this much?), Abandon the ship n.k.
Naomba usitumie huruma kunishauri, share facts, share ukweli. Maana hadi umri huu...hakuna huruma iliyowahi kunipa la maana. Mambo makubwa niliyofanikisha maishani ni kwa sababu ya "Cleverness", everybody who spends time with me, huwa anaishia kusema mimi ni kama Yakobo wa kwenye Biblia, yaani sio Extremely Smart, but I'm Extra Ordinary Clever to a point I almost can get away with anything...CLEAN.
Lengo ni kuanza maisha upya kwa kupigania ndoto za maisha yangu bila (mzigo wa) ndoa au familia, maana nategemea nguvu zangu mwenyewe, sina urithi sina ndugu...ni jeshi la mtu mmoja. Na mwanzoni kabla ya kuoa nilikuwa nikienda speed kali na nzuri sana.
Nawasilisha.
P.S. Mke hana shughuli, ni form 4 leaver. Nimeshajaribu kumtafutia kazi anashindwa, nikamfungulia biashara ya Hotel mtaji ukafia huko.
UPDATE:
Naona wengi wananukuu vibaya kipengele nilichosema kwamba mimi ni "Clever". Ni kwamba, apart from relationship/marriage failure I'm going through, I'm extremely talented; under the age of 23, I managed to secure 2 high profile jobs in Banks headquarters (names undisclosed)...I have a chain of man-work accomplishments ambazo hutaamini niki-unveil (and I won't do it here, it's not a proper platform)...Hapa nimeleta swala la familia nipate ushauri. FULL STOP. Pia madhaifu yangu nayajua fika; I'm arrogant and I have an exaggerated sense of self importance.