Kuna kila dalili kuwa kuna maamzi yamefikiwa ya kuhakikisha vyeo vyote vya madaraka vinaenda kukabidhiwa makada watiifu ili waweze kusaidia juhudi zilizo kusudiwa za kufikia malengo yaliyokusudiwa mapema iwezekanavyo!.
Dalili zinaonyesha kuwa kwa sasa kuna ugumu wa kwenda kwa kasi inayotakiwa kwa sababu kumekuwa na mchanganyiko wa viongozi ambao siyo makada, hivyo wengi wao wanaweza kukwamisha jitihada kwa makusudi, ama kwa kutumiwa na watu wasiopendelea uongozi uliopo!,
Zaidi ya yote ni dhahiri kuwa sasa tunakoelekea chama kinaenda kushika hatamu!. Hebu nisubiri nione dalili hizo kama zinaweza kuleta uhalisia huo!.
Dalili zinaonyesha kuwa kwa sasa kuna ugumu wa kwenda kwa kasi inayotakiwa kwa sababu kumekuwa na mchanganyiko wa viongozi ambao siyo makada, hivyo wengi wao wanaweza kukwamisha jitihada kwa makusudi, ama kwa kutumiwa na watu wasiopendelea uongozi uliopo!,
Zaidi ya yote ni dhahiri kuwa sasa tunakoelekea chama kinaenda kushika hatamu!. Hebu nisubiri nione dalili hizo kama zinaweza kuleta uhalisia huo!.