bahiri la kigogo
Member
- Jul 31, 2012
- 21
- 3
Habari wajf,
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015, jimbo la uchugazi la Kongwa lina kata 22 ambazo kwa sasa zote zipo chini ya CCM. sasa kwa wale wote wapenda maendeleo hii ni fursa ya kujitambua, kuthamini na kuchukua hatua ili kujaza nafasi wazi za udiwani katika uchaguzi 2015. maandalizi mapema ndio msingi wa kufanikiwa.
Naomba wanajf kutoka kongwa kujaza nafasi hizi kulinga na kata husika mapema kwani kutakuwa na mafunzo ya kujengeana uwezo na katika hiyo timu tutampata mgombea safi na mwenye uwezo katika nafasi ya ubunge.
Mi naanza na kata ya Hogoro.
awasilisha.
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015, jimbo la uchugazi la Kongwa lina kata 22 ambazo kwa sasa zote zipo chini ya CCM. sasa kwa wale wote wapenda maendeleo hii ni fursa ya kujitambua, kuthamini na kuchukua hatua ili kujaza nafasi wazi za udiwani katika uchaguzi 2015. maandalizi mapema ndio msingi wa kufanikiwa.
Naomba wanajf kutoka kongwa kujaza nafasi hizi kulinga na kata husika mapema kwani kutakuwa na mafunzo ya kujengeana uwezo na katika hiyo timu tutampata mgombea safi na mwenye uwezo katika nafasi ya ubunge.
Mi naanza na kata ya Hogoro.
awasilisha.