Nafasi za polisi wa uhamiaji

Nafasi za polisi wa uhamiaji

KIEMBE

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
109
Reaction score
11
Daa! kwel Tanzania noma toka july natembelea mtandao wa
wa pols uhamiaj cjawah kukuta tangazo la kaz wameweka bayana
ila chakushangaza leo nakuta tangazo lawaliochaguliwa
sasa najiulza wanatangaza wap nafas hz daaa! matumain yangu
juu yakaz yanaddmia day after day jaman magereza mktoa naomba
mtangaze kama polc bla hvyo cc wanyonge tutaozea nyumban
 
Pole s sana mkuu siku hizi kuna kajisera kakuajiri watu kwenye vyombo vya ulinzi kupitia jkt,kwa hiyo full majanga,pengine tusubirie TAKUKURU.
 
Zilitangazwa sana mwezi wa pili, hadi humu kuna tangazo liliwekwa, subiri awamu nyingine ila sijui watatoa lini nafasi tena?
 
SASA JAMAN WATANGAZE MWEZ2 HAD LEO
CMTU UMEKATA TAMAA JAMAN ANYWAY LABDA POLS
NAO WATATANGAZA TENA MWEZ WA12 KAMA UTARATBU WAO
HAYA BAS MAGEREZA,JESH AU Jkt WAKTOA TUPEANE DATA LAKN TAKUKURU TAYAR au vp?
 
polisi tayari wameshaita tayari na JKT HADI DECEMBER AU JANUARY KWANI KWA SASA JESHI HALINA HELA. OVER.

SASA JAMAN WATANGAZE MWEZ2 HAD LEO
CMTU UMEKATA TAMAA JAMAN ANYWAY LABDA POLS
NAO WATATANGAZA TENA MWEZ WA12 KAMA UTARATBU WAO
HAYA BAS MAGEREZA,JESH AU Jkt WAKTOA TUPEANE DATA LAKN TAKUKURU TAYAR au vp?
 
SASA JAMAN WATANGAZE MWEZ2 HAD LEO
CMTU UMEKATA TAMAA JAMAN ANYWAY LABDA POLS
NAO WATATANGAZA TENA MWEZ WA12 KAMA UTARATBU WAO
HAYA BAS MAGEREZA,JESH AU Jkt WAKTOA TUPEANE DATA LAKN TAKUKURU TAYAR au vp?

polis wamefanya usaili juz, wamechukuwa wengi sana ila graduate wamechukuwa wachache sana.
 
naomba kuuliza hivi hizi tasisi nyeti kama polis,takukuru,uhamiaji huwa wana tofautiana kima cha mishahara.....?
 
Back
Top Bottom