Ni wazo zuri,
Ni wakati wa vijana kujiari sasa;
Hii nimeisikia Moshi,
Wameanza vizuri, wanasaidia kuokoa vijana walioathirika na unga na madawa ya kulevya.
Natamani Mheshimiwa Makonda angeanza na hawa vijana kwa kuwapa mitaji ili waendeleze kazi yake aliyoianza;