Sifa: shule diploma ya fani yoyote, kazi customer care dukani, awe mtulivu, mwenye kujipenda na heshima, mwaminifu, Kama Huna diploma basi sifa hizo hapo na mwenye uelewa wa Hali ya juu utafikiliwa.
Ukiona haijatajwa ujue ni Dar es salaam!!! Japokuwa ni kujisahau lakini inge kuwa Iringa Mwanza Morogoro nisingesahau!! Hapa ndo tunapojikuta ukitaja Dar es salaam mahali popote asojua anajua ndo Tanzania. . . Kwikwikwii no hard feelings though. .
Sifa: shule diploma ya fani yoyote, kazi customer care dukani, awe mtulivu, mwenye kujipenda na heshima, mwaminifu, Kama Huna diploma basi sifa hizo hapo na mwenye uelewa wa Hali ya juu utafikiliwa.
Mimi nipo Dodoma, bado nasoma diploma ya mifugo, ila mwezi wa 6 nitakua na likizo ya miezi miwili. kazi naiweza. je nitakufaa (kwa kigezo cha muda) ? NAOMBA KAZI. 0716649482
Ndugu naamini kazi hii naiweza,nimemaliza kidato cha sita,baada ya kumaliza kidato cha sita nikaaminiwa kupewa kazi ya uhasibu kwenye moja ya mashirika makubwa tanzania na huu ni mwaka wangu wa 4 nafanya kazi bila shida,mwezi wa saba nitakua huru kwasababu mkataba wangu unaishia june 30.kwa kusema hayo naomba nitoe ombi la kuiomba hiyo kazi. Kwa mawasiliano 0684864360
Nipo dar kazi iyo naitaka sana japo nipo diploma ktk cha utumish wa umma,na nimepata kazi ya mkataba sehemu flani lkn kama maslah yatukuwa mazuri,nipotayari kuvunja mkataba,nichek 0656650636
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.