NAFASI ZA KAZI

NAFASI ZA KAZI

AJIRAdotCOM

New Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
2
Reaction score
2
Mkurugenzi wa kampuni ya
JN GROUP COMPANY LIMITED
anatangaza nafasi za kazi kwa nafasi zifuatazo:-
  1. Kazi za usafi maofisini
  2. Kazi za viwandani
  3. Kazi ya duka
  4. Kazi za kuuza na kusafirisha bidhaa za kampuni
  5. Kazi ya stoo na ukarani
  6. Secretary
  7. Afisa masoko
  8. Kazi ya uhasibu
SIFA NA VIGEZO VYA MWOMBAJI
  1. Awe raia wa Tanzania
  2. Awe na umri wa miaka 18 hadi 35
  3. Awe na elimu ya msingi, sekondari, vyuo vya kati au vyuo vikuu
  4. Kwa nafasi ya Secretary, Afisa masoko na Uhasibu mwombaji angalau awe na cheti, Diploma au degree
  5. Awe na afya njema, mwenye nguvu na uwezo wa kutimiza malengo yatakayowekwa kwa kila siku
  6. Awe mbunifu, mchangamfu, mwaminifu na anayeweza kujituma mwenyewe
Wasiliana nasi kupitia;
Barua pepe:
ajiradotcom@gmail.com

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu
IHUMWA
P.O.BOX 41000
Dodoma, Tanzania


Au tembelea mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa zaidi;
Instagram:
JN GROUP COMPANY LIMITED (@ajira_dot_com) • Instagram photos and videos
Facebook: https://facebook.com/ajiradotcom

Quality Products And Services Is Our Destiny
 
Back
Top Bottom