Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Aysher25

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
1,763
Reaction score
3,074
Habari zenu
Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye mgahawa

#Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel

#Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu anayetengeneza chips elimu yoyote

#Wakike 1 kwa ajili ya kuosha vyombo elimu kuanzia la saba

Awe muaminifu
Ajiheshimu
Awe Dar es Salaam haswa Wilaya ya Kinondoni itapeneza zaidi

Mawasiliano -0688140911 tuma message tu eleza sifa zako wapi unaishi usipige tafadhali.






Wabilah Tawfiq
 
Habari zenu
Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye restaurant

#Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel

#Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu anayetengeneza chips elimu yoyote

#Wakike 1 kwa ajili ya kuosha vyombo elimu kuanzia la saba

Awe muaminifu
Ajiheshimu
Awe Dar es Salaam haswa Wilaya ya Kinondoni itapeneza zaidi

Mawasiliano -0688140911 tuma message tu eleza sifa zako wapi unaishi usipige tafadhali.






Wabilah Tawfiq[/QUOMkuu nimekutext tayari naona namba haiko hewani
Habari zenu
Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye restaurant

#Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel

#Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu anayetengeneza chips elimu yoyote

#Wakike 1 kwa ajili ya kuosha vyombo elimu kuanzia la saba

Awe muaminifu
Ajiheshimu
Awe Dar es Salaam haswa Wilaya ya Kinondoni itapeneza zaidi

Mawasiliano -0688140911 tuma message tu eleza sifa zako wapi unaishi usipige tafadhali.






Wabilah Tawfiq
Mkuu
 
Watu wanakutext huwajibu si utapeli huu
Sikulaumu kwasababu inaonesha huna busara

Kama mtu ametuma ujumbe na hajajibiwa asubiri muda ukifika utajibiwa haraka za nini?
Unadhani ni kitu rahisi kumuita mtu?Au unahic umetuma ujumbe peke yako?
Then nadhani ni mgeni kwenye swala hilo ndo maana unahic kutapeliwa
Kama hujajibiwa kitu,hapo umetapeliwaje?

Wanaoelewa husubir kama rizki ipo ipo kama unahic unatapeliwa fine pia sikulazimishi uniamini maana hata mimi ninachojaribu ni kuamini mtu nisiyemjua ndo maana nina subra

NB:Mgahawa haujafunguliwa bado hvy subra inahitajika
 
ujipata za mikoani nishitue mi nipo tayari kwa kazi yoyote
 
Sikulaumu kwasababu inaonesha huna busara

Kama mtu ametuma ujumbe na hajajibiwa asubiri muda ukifika utajibiwa haraka za nini?
Unadhani ni kitu rahisi kumuita mtu?Au unahic umetuma ujumbe peke yako?
Then nadhani ni mgeni kwenye swala hilo ndo maana unahic kutapeliwa
Kama hujajibiwa kitu,hapo umetapeliwaje?

Wanaoelewa husubir kama rizki ipo ipo kama unahic unatapeliwa fine pia sikulazimishi uniamini maana hata mimi ninachojaribu ni kuamini mtu nisiyemjua ndo maana nina subra

NB:Mgahawa haujafunguliwa bado hvy subra inahitajika
Kumbe mgahawa bado hata kufunguliwa unatangaza kazi

Basi hata ungekuwa unajibu watu kuwa meseg yako imepokelewa tutakutafuta kama umekidhi vigezo unapokaa kmya watu wanajuwa ni wale wale tu....mimo naongea hv nina fans wangu kwenye page yangu so nkashare tangazo lako sasa kuna malalamiko angalau hata ungekuwa unajibu ingeleta moyo kuliko kupokea meseg halafu kmyaaa
 
Kumbe mgahawa bado hata kufunguliwa unatangaza kazi

Basi hata ungekuwa unajibu watu kuwa meseg yako imepokelewa tutakutafuta kama umekidhi vigezo unapokaa kmya watu wanajuwa ni wale wale tu....mimo naongea hv nina fans wangu kwenye page yangu so nkashare tangazo lako sasa kuna malalamiko angalau hata ungekuwa unajibu ingeleta moyo kuliko kupokea meseg halafu kmyaaa
Bob hebu fungua mgahawa basi.

Mtu anatumia pesa yake kuanzia kuufungua mgahawa mpaka kulipa mishahara unakuja hapa unaleta stand up comedy za kumuelekeza ajibuje?
 
Habari zenu
Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye mgahawa

#Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel

#Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu anayetengeneza chips elimu yoyote

#Wakike 1 kwa ajili ya kuosha vyombo elimu kuanzia la saba

Awe muaminifu
Ajiheshimu
Awe Dar es Salaam haswa Wilaya ya Kinondoni itapeneza zaidi

Mawasiliano -0688140911 tuma message tu eleza sifa zako wapi unaishi usipige tafadhali.






Wabilah Tawfiq
Mtua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu
Natafuta wafanyakazi kwa ajili ya kufanya kazi kwenye mgahawa

#Wakike 2 elimu certificate yoyote sio lazima awe na uzoefu wa mambo ya hotel

#Wakiume 1 kwa ajili ya kumsaidia mtu anayetengeneza chips elimu yoyote

#Wakike 1 kwa ajili ya kuosha vyombo elimu kuanzia la saba

Awe muaminifu
Ajiheshimu
Awe Dar es Salaam haswa Wilaya ya Kinondoni itapeneza zaidi

Mawasiliano -0688140911 tuma message tu eleza sifa zako wapi unaishi usipige tafadhali.






Wabilah Tawfiq
Cashier utaki?
 
Back
Top Bottom