Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Habari wakuu humu ndani?
Kuna nafasi mbili kwa ajili ya walim wa kufundisha Chuo (tutor) mbeya mjini. Ni Mbeya-Uyole na wanahitajika walim wa Tourism and Hotel management nafasi moja na Secretarial nafasi moja.
Nafasi ni za part time tu na anahitajika MTU ambae ana diploma na kuendelea kwa kozi tajwa hapo juu na vizur kama akiwa anaishi mbeya
Tuwasiliane kupitia
pawaga07@yahoo.com
Kuna nafasi mbili kwa ajili ya walim wa kufundisha Chuo (tutor) mbeya mjini. Ni Mbeya-Uyole na wanahitajika walim wa Tourism and Hotel management nafasi moja na Secretarial nafasi moja.
Nafasi ni za part time tu na anahitajika MTU ambae ana diploma na kuendelea kwa kozi tajwa hapo juu na vizur kama akiwa anaishi mbeya
Tuwasiliane kupitia
pawaga07@yahoo.com