Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
mbona hata viongozi wako wa nchi wanaongea broken isitoshe hata wewe mbna hauja mrekebishateh teh teh samahani mkuu uko darasa la ngapi?
mbona hata viongozi wako wa nchi wanaongea broken isitoshe hata wewe mbna hauja mrekebishateh teh teh samahani mkuu uko darasa la ngapi?
acheni ujinga kwani hujamuelewaHebu kijana tumia lugha yetu ya kimatumbi labda tutaelewana kiurahisi
:smile:Mr ahmad i hope it was just a typing error..!
Jiskie huru jukwaa hili letu sote,kejeli wamezoea hawa waswahili,,
:madgrin: :madgrin:
kijana mbona hujaulizia taasisi zingine? au wewe akili yako ipo TRA tu??
usiwe mwepesi wa kukejeli , kama hauna msaada kwa mtoa mada ni busara ukikaa kimya//kama mtoa mada kasomea tax assesment in marine shipments au kasoma import and export bado unataka akaombe wizara ya kilimo??? je kwani tra hawakunyi kodi wizara ya kilimo, si akiwa tra ataisaidia pia wizara ya kilimo??acha kuwakejeli vijana .....