moshi sehemu ganiHabari wana jamii wenzangu naombeni msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kazi au kunipa connection ya kazi niko Moshi nimesoma Diploma ya social studies. Asanteni.
Moshi maeneo ya KDCmoshi sehemu gani
kaongeze elimu kwanza halafu urudi siku hizi degree ndio form four wewe unakuja hapa na kadiploma halafu kasosho stadi cjuiHabari wana jamii wenzangu naombeni msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kazi au kunipa connection ya kazi niko Moshi nimesoma Diploma ya social studies. Asanteni.
Hahahahahahahha kwakuwa huna kazi usimmalizie mwenzio hasiraaahiyo heading yako unamaanisha nini,au ili watu waje mbio
nina masters ya architecture niko mtaani ye anakuja kutusumbua na diploma ya social studies.mi nitamsaidia jembe arudi kijijini akalimeHahahahahahahha kwakuwa huna kazi usimmalizie mwenzio hasiraaa
Nashukuru ndugu na hongera kwa kuwa na masters. ila masters isikufanye udharau elimu ya wengine kila mtu na alivyojaliwa.kaongeze elimu kwanza halafu urudi siku hizi degree ndio form four wewe unakuja hapa na kadiploma halafu kasosho stadi cjui
nimemshauri bila kupepesa sijadharau,halafu hapo hakuna kujaaliwa ni jitihada tu kila mtu alishajaaliwa tangu yuko tumboni,tusichanganye uvivu na kujaliwa Mungu hana upendeleoNashukuru ndugu na hongera kwa kuwa na masters. ila masters isikufanye udharau elimu ya wengine kila mtu na alivyojaliwa.
Ni social studies ndani ya hii kozi kuna socialogyNi diploma ya Social Studies au Sociology....!!?
Ni kweli MUNGU hana upendeleo na humpa kila mtu kwa nafasi yake na kwa wakati wake. Sio mvivu na sijachoka kutafuta. Nashukuru kwa mchango na ushauri wako tuombeane kheri ndugu.nimemshauri bila kupepesa sijadharau,halafu hapo hakuna kujaaliwa ni jitihada tu kila mtu alishajaaliwa tangu yuko tumboni,tusichanganye uvivu na kujaliwa Mungu hana upendeleo