Nafasi za kazi freelancers needed

Nafasi za kazi freelancers needed

ElinaJ

New Member
Joined
Aug 15, 2016
Posts
2
Reaction score
1
TANGAZO

IDARA:MAHUSIANO YA JAMII NA MASOKO

IDADI-5 WANAUME 2,WANAWAKE 3.

SIFA
.Form 4,6,Chet chochote katika Uandishi wa Habari au Masoko
.kujieleza Vizuri na Ushawishi
.Utayari wa Kazi.

JINSI YA KUTUMA
LETA BARUA YA MAOMBI YENYE NAKALA ZA VYETI MOJA KWA MOJA UHURU HOSPITAL RUFIJI MWANZA.
AU PIGA SIMU NAMBA 0764 65 1000

Mwisho wiki Moja baada ya tarehe ya Tangazo kuwekwa jukwaani.
 
Mimi ninachet cha mambo ya jamii je ninaruhusiwa kuomba? Sifa nyingine zote ninazo
 
Back
Top Bottom