Nafasi za kazi Dar es Salaam

Nafasi za kazi Dar es Salaam

beko

Senior Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
189
Reaction score
91
Nafasi za kazi Dar es Salaam


wanahitajika wafanyakazi katika fani zifuatazo katika kiwanda kidogo cha kusindika nafaka - Unga wa Mahindi


1. Procurement & Sales Officer- nafasi 1 (uzoefu katika kazi hiyo walao mwaka 1)

2. Machine operator -Nafasi 2- Uzoefu walao miezi mitatu


Tuma maombi yako kwa barua pepe ifuatayo kabla ya 1/8/2017


joemi.investment@gmail.com
0714432979
 
Nafasi za kazi Dar es Salaam


wanahitajika wafanyakazi katika fani zifuatazo katika kiwanda kidogo cha kusindika nafaka - Unga wa Mahindi


1. Procurement & Sales Officer- nafasi 1 (uzoefu katika kazi hiyo walao mwaka 1)

2. Machine operator -Nafasi 2- Uzoefu walao miezi mitatu


Tuma maombi yako kwa barua pepe ifuatayo kabla ya 1/8/2017


joemi.investment@gmail.com
0714432979
For graduate, (business administration) how much he/she will be payed as a starting point?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji mtu wa Form 4 tuu, au la Saba mwenye uzoefu mzuri. kazi sio complecated hasa ya machine operator. lakini hiyo ya procurement na sales, akiwa form 4 ndio nzuri zaidi
 
Weka kiwango cha mshahara hadharani apo maana nasikia sikia Wazee wa Yes Ser a k a wazee wa Ccp wanafurumushwa na vyeti vyao vya darasa la saba...!!
 
Kwa form four gross salary 300,000/= kwa la saba 200,000/=
 
Hiyo maahine yaweza kuwa operated na mtu wa jinsia ya kike

IRON LADY!!!!
 
Vipi mkuu umewapta hao Kama bado nafasi ipo naomba hata Mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom