Zerongumu
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 287
- 385
Mkuu unajikuta nani?Niwe na hasira na kazi zenu za laki 5 .?? SMH
Mkuu unajikuta nani?Niwe na hasira na kazi zenu za laki 5 .?? SMH
Mkuu unajikuta nani?
Mliyoitwa kwenye hii interview picha linaanza kwenye aptitude test msishangae watu kupata maswali yote,Ukiwachunguza ni wale wale wanaojitolea wanafanya interview kwa geresha tu kwa wale wamikoani hiyo nauli bora muongezee kwenye mtaji ila sio kwa hawa jamaa mtarundikwa pale Law School mpaka mkome
Sidhani Kama geresha itakua possible kwa kigezo cha NIDA #, anyway kama uwezo unao hata Kama upo mbali it's better to try your luck.. Maana 50+ nafasi ni nyingi Sana hasa ukilinganisha kwa usawa huu wa uhaba wa ajira tulio nao, kila siku kutangazwa nafasi moja au mbili, itakua more than 50+!!!Mliyoitwa kwenye hii interview picha linaanza kwenye aptitude test msishangae watu kupata maswali yote,Ukiwachunguza ni wale wale wanaojitolea wanafanya interview kwa geresha tu kwa wale wamikoani hiyo nauli bora muongezee kwenye mtaji ila sio kwa hawa jamaa mtarundikwa pale Law School mpaka mkome
Sawa makudogoMama ako mdogo
Sorry mzee hivi walikutumia Email Mkuu auOya tunaoenda tarehe 8 interview tujuane
Wapo ambao hawajaitwaKwan kuna mtu aliapply na ajaitwa
Oya tunaoenda tarehe 8 interview tujuane
Interview wapi?Mkuu bahati haikuwa yako....mbonaa wengine hatuja shikwaa mkonoo tumeitwaa interview tarehe 8
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Au sioTunaenda kuchukua kaz saa 2 asubuhi mapema tu
Mtatuambia kesho maswali yakoje 🏃🏾Tunaenda kuchukua kaz saa 2 asubuhi mapema tu
humu jukwaani mtakuja muuane hata kwa presha badala ya covid-19 mjue tu kuwa hata kama mlisoma pamoja hamuwezi kuwa na cv inayofanana hivyo basi lazima mmoja ataitwa mwingine atabaki kama ni bahati kwako basi mpe moyo mwenzio wapo waliopokea ujumbe wa shotlisted au bado cjui lakini woye wamoja upo kazini unataka kubadili kazi wapo wanaotaka kuingia piaMkuu bahati haikuwa yako....mbonaa wengine hatuja shikwaa mkonoo tumeitwaa interview tarehe 8
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app