Nafasi za G4S secure solution, mwanza zamwagwa

mzee wa giningi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
519
Reaction score
336
Kampuni ya G4S secure solution kanda ya ziwa inatangaza nafasi za kazi 230 kwenye ulinzi wa migodini migodi hiyo ni north Mara gold mine, buzwagi gold mine, geita gold mine, na bulyanhulu gold mine, sifa uwe umemaliza kidato cha nne na kufaulu, Au form six, degree, nk
 
Aah, g4s kwa hiyo ni ya ulinzi na vipi mishahara yao ikoje uko?
 
aliyefanikiwa kuthibitisha hzi habari ni vizuri akatujulisha
 
Nikusaidiaje labda kampuni ikufate kwenu?? Kama unataka kazi fika mwanza
Acha dharau mshikaji watu wanataka details za kueleweka kwani nijuavyo g4s sio kampuni ya kihuni huni tu, lazima kama kuna kazi tangazo litakuwa official display on the board, sasa unapoleta tangazo kienyeji hivi unakosea JF ni sehemu ya watu makini... Ni hayo tu.
 
Hii ndo kazi pekee walioitangaza G4S sasa sijui mleta mada kaokota wapi hiyo habari yake

 
Halafu kakimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…