Nafasi ya ualimu wa private au serikalini

Nafasi ya ualimu wa private au serikalini

Joined
Oct 4, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Mimi ni kijana wa kiume nimemaliza bachelar degree katika masomo ya geography na history kutoka udsm 2013/14 hivyo nko tiari kupiga kazi kama mwl no 0767241051/0689959603
 
duh hawa c ndio wanaxema ukisoma udsm ndo kila k2,leo una2andikia bachelar degree!!! ndo nn me cjakuelewa nahc hta ukiwa mwalim utakuwa huelewek
 
duh hawa c ndio wanaxema ukisoma udsm ndo kila k2,leo una2andikia bachelar degree!!! ndo nn me cjakuelewa nahc hta ukiwa mwalim utakuwa huelewek

Hivi keyboard yako haina s au...?. Sijaona tofauti ya mleta maada na wewe wote wale wale, BRN.
 
Endlea kusubri kijana ajira za serekal zinakuja na utafte divergent thnking on how to make money!
 
duh hawa c ndio wanaxema ukisoma udsm ndo kila k2,leo una2andikia bachelar degree!!! ndo nn me cjakuelewa nahc hta ukiwa mwalim utakuwa huelewek
"C = si"
"Wanaxema = wanasema"
"K2 = kitu"
"Una2andikia = unatuandikia"
"Nn = nini"
"Me = mimi"
"Cjakuelewa = sijakuelewa"
"Nahc = nahisi
"Hta = hata"
"Mwalim = mwalimu"
"Huelewek = hueleweki"



Wewe ndo kilaza zaidi ya mwenzako.
N.b: Toa kwanza kibanzi ndani ya mboni yako kabla ya kumgeukia jirani yako.
 
"C = si"
"Wanaxema = wanasema"
"K2 = kitu"
"Una2andikia = unatuandikia"
"Nn = nini"
"Me = mimi"
"Cjakuelewa = sijakuelewa"
"Nahc = nahisi
"Hta = hata"
"Mwalim = mwalimu"
"Huelewek = hueleweki"



Wewe ndo kilaza zaidi ya mwenzako.
N.b: Toa kwanza kibanzi ndani ya mboni yako kabla ya kumgeukia jirani yako.

vizuri kijana wote ni wale wale tu,ila yote mtoa mada asubiri ajira za serikali
 
Back
Top Bottom