Nafasi ya kazi

Nafasi ya kazi

Regina ngongi

Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
7
Reaction score
0
Ni msichana mwenye miaka 24 nina elimu ya kidato cha sita naomba msaada wa kazi aina yoyote.........ninauelewa wa computer ......nina uzoefu katika mauzo ya bidhaa kam nguo na vipodozi.......naishi Dar es salaam
 
Ni msichana mwenye miaka 24 nina elimu ya kidato cha sita naomba msaada wa kazi aina yoyote.........ninauelewa wa computer ......nina uzoefu katika mauzo ya bidhaa kam nguo na vipodozi

Nimeshaku-pm, tumia hiyo namba kuwasiliana na mimi haraka!
 
Nimeshaku-pm, tumia hiyo namba kuwasiliana na mimi haraka!

Ndugu nina kijana wa miaka 25, ana elimu ya kidato cha sita, na amesomea Computer pale UDSM Computer Centre, kama una nafasi za kutosha tafadhali julisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom