Nafasi ya kazi

Nafasi ya kazi

Zubbyzubby

New Member
Joined
Dec 26, 2018
Posts
4
Reaction score
0
Nafuta kazi kwenye NGO's ma officini na hata mashirika mbali mbali, na degree ya project planning management and community development. Kwa mawasiliano zaidi number yangu ya simu ni 0785878701. Ahsante.
 
Nafuta kazi kwenye NGO's ma officini na hata mashirika mbali mbali, na degree ya project planning management and community development. Kwa mawasiliano zaidi number yangu ya simu ni 0785878701. Ahsante.
Jitahidi ujiunge na magroup ya whatsapp ya AJIRALEO, huwa kunatolewa matangazo mbalimbali ya watu wenye degree waliosomea Social Work, Community development, Sociology, rural development
 
Ebu ingia Arusha mail kuna tangazo la willows sijui kama nimepatia nenda kaangalie.
Office zao ziko mitaa ya kibo palace kama uko Arusha kajaribu bahati yako.
BTW mimi pia natafuta kazi ukisikia mahali nishtue mambo ya utaliii kwa ujumla.
 
Jitahidi ujiunge na magroup ya whatsapp ya AJIRALEO, huwa kunatolewa matangazo mbalimbali ya watu wenye degree waliosomea Social Work, Community development, Sociology, rural development

Sawa nashukuru sana
 
Ebu ingia Arusha mail kuna tangazo la willows sijui kama nimepatia nenda kaangalie.
Office zao ziko mitaa ya kibo palace kama uko Arusha kajaribu bahati yako.
BTW mimi pia natafuta kazi ukisikia mahali nishtue mambo ya utaliii kwa ujumla.

Owky poa poa, hamna neno pia na wewe kajaribu Wildland expenditure hua na wao wananafasi za kazi iko kisongo
 
Plz ukisika mjin kabisa nishtue uko pia ntaenda kuangalia.@ zubbyzubby
 
Back
Top Bottom